Habari

News

SUWASA STAFF VISITS BUWASA

WATUMISHI WA SUWASA WATEMBELEA BUWASA

Posted on: Apr 9, 2025 Imetengenezwa: Apr 9, 2025
Singida Water Supply and Sanitation Authority (SUWASA) staff have arrived at the BUNDA Water Supply and Sanitation Authority (BUWSSA) office for a training visit.
The employees were received by the Managing Director of BUWSSA, Ms. Esther Gilyoma, along with the Authority's staff, and had the opportunity to exchange work experiences with the aim of improving work performance.

Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) wamefika katika ofisi za Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira BUNDA (BUWSSA) kwa ajili ya ziara ya mafunzo.

Watumishi hao wamepokelewa na Mkurugenzi Mtendaji wa BUWSSA Bi. Esther Gilyoma pamoja na watumishi wa Mamlaka hiyo na kupata wasaa wa kubadilishana uzoefu kwa lengo la kuboresha utendaji wa kazi.

Anwani
Address
  • Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida Singida Water Supply and Environmental Sanitation Authority
  • P.O. Box 174,
    Singida.
  • +2552502122, 0800710038
  • info@suwasa.or.tz
Tovuti Mashuhuri
Related Links
Idadi ya Wageni
Visitors Counter
  • Today Leo 223
  • Yesterday Jana 211
  • This Week Wiki hii 1,041
  • This Month Mwezi huu 4,404
  • All Days Siku Zote 298,709
Hakimiliki ©2023 SUWASA. Haki zote zimehifadhiwa.