Habari
News
SUWASA MANAGEMENT HOLDS A MEETING WITH STAFF
MKURUGENZI MTENDAJI WA SUWASA AKAA KIKAO NA WAFANYAKAZI
Posted on: Sep 15, 2025 Imetengenezwa: Sep 15, 2025
The Managing Director of the Singida Water Supply and Sanitation Authority (SUWASA) in a meeting with staff, as part of the regular procedure for such meetings.
In this meeting, the staff received and discussed the Annual Performance Report of the Department and Units, discussed and clarified various operational issues, received suggestions and concerns from the employees, with the aim of improving the institution's performance.
Mkurugenzi mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) akiwa katika kikao na wafanyakazi, ikiwa ni utaratibu wa kawaida wa kukaa vikao hivyo.
Katika kikao hicho watumishi walipokea na kujadili taarifa ya Mwaka ya utendaji wa Idara na Vitengo, kuzijadili na kupata ufafanuzi wa mambo mbalimbali ya kiutendaji, kupokea maoni pamoja na hoja za wafanyakazi, kwa lengo la kuboresha utendaji wa Taasisi