MAMLAKA YA MAJISAFI NA USAFI WA MAZINGIRA SINGIDA (SUWASA) IMEPOKEA WAKAGUZI KUTOKA WIZARA YA MAJI
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) imepokea Wakaguzi kutoka Wizara ya Maji ambao wamefika SUWASA kukagua na kufanya ufuatiliaji wa utoaji wa huduma ya Maji Safi Manispaa ya Singida sambamba na kujua namna ambavyo huduma inatolewa kwa Wananchi.
Ukaguzi huo unaongozwa na Mhandisi Adani A. Ishara akiwa ameongozwa na Mha. Oscar Munishi na Oscar Lufyagile.
Ziara hiyo itachukua Siku mbili