Habari

News

SUWASA PARTICIPATED IN JTP PROGRAM TRAINING

SUWASA IMESHIRIKI MAFUNZO YA MRADI WA JTP

Posted on: Jul 18, 2025 Imetengenezwa: Jul 18, 2025

Staff from the Singida Urban Water and Sanitation Authority (SUWASA) have participated in a 3-day training under the Joint Town Plan (JTP) project organized by GIZ in collaboration with the Ministry of Water. The training was held from June 4 to 6, 2025, at Regency Hotel in Singida Municipality.

This phase of the training focuses on collecting accurate data regarding the current state of water services, sanitation, and solid waste management in the wards of Singida Municipality, and outlining both short- and long-term expectations in those three areas.

The goal is to engage relevant sectors—such as the Central Water Basin Office, SUWASA, and the Singida Municipal Council—in collaboratively finding solutions to existing challenges, which are currently being exacerbated by climate change, population growth, and daily human activities. This aims to ensure water security and improved sanitation, particularly in wastewater and solid waste management.

The training was facilitated by experts from GIZ Consulting Engineer Jackson Mutazamba and Water & Environment Advisor Agonza Lwakatare, who were accompanied by Dr. Dialista Kalinga, a Community Development Officer from the Ministry of Water.


Watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) wameshiriki katika mafunzo ya siku 3 ya mradi wa JTP (Joint Town Plan) ya Shirika la GIZ likishirikiana na Wizara ya Maji yaliyoanza tarehe 4 mpaka 6 June 2025 katika Hoteli ya Regency iliyopo Manispaa ya Singida

Mafunzo hayo ambayo yanatolewa kwa awamu yapo katika hatua ya ukusanyaji wa taarifa sahihi za hali ya huduma ya maji, Usafi wa Mazingira na uondoshaji wa taka ngumu katika Kaa za Manispaa ya Singida na kuainisha matarajio ya muda mrefu na muda Mfupi katika maeneo hayo 3.

Lengo ni kushirikisha Sekta husika kama Bonde la kati, SUWASA na ofisi ya Manispaa ya Singida, katika kutafuta ufumbuzi wa pamoja na suluhisho la changamoto zilizopo kwa sasa zinazosababishwa na mabadiliko ya tabia nchi, watu na shughuli za kila siku ili kuhakikisha usalama wa maji na Usafi wa Mazingira upande wa Uondoshaji wa Majitaka na taka ngumu.

Mafunzo hayo yametolewa na Wataalam kutoka Shirika la GIZ Mhandisi Mshauri Jackson Mutazamba na Mshauri- Maji na Mazingira Agonza Lwakatare ambao waliambatana na Afisa Maendeleo ya Jamii kutoka Wizara ya Maji Dkt. Dialista Kalinga.

Anwani
Address
  • Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida Singida Water Supply and Environmental Sanitation Authority
  • P.O. Box 174,
    Singida.
  • +2552502122, 0800710038
  • info@suwasa.or.tz
Tovuti Mashuhuri
Related Links
Idadi ya Wageni
Visitors Counter
  • Today Leo 929
  • Yesterday Jana 1,636
  • This Week Wiki hii 3,823
  • This Month Mwezi huu 30,292
  • All Days Siku Zote 342,143
Hakimiliki ©2023 SUWASA. Haki zote zimehifadhiwa.