Habari

News

SUWASA RECEIVED AUDITORS FROM MINISTRY OF WATER

SUWASA IMEPOKEA WAKAGUZI KUTOKA WIZARA YA MAJI

Posted on: Sep 15, 2025 Imetengenezwa: Sep 15, 2025

Singida Water Supply and Sanitation Authority (SUWASA) has received a team of inspectors specializing in management, technical matters, and various operational systems from the Ministry of Water who visited the office of the Executive Director of SUWASA on August 1, 2025.

The inspectors, led by CDO Yusuph Ngalemwa, had the opportunity to engage with SUWASA's management on various operational issues and later met with SUWASA staff to listen to their feedback and challenges with the aim of improving service delivery.

Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) imepokea timu ya wakaguzi wa masuala ya kimenejimenti, Ufundi na Mifumo mbalimbali ya uendeshaji kutoka Wizara ya Maji waliofika katika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa SUWASA tarehe 1 Agosti 2025.

Wakaguzi hao wakiongozwa na CDO Yusuph Ngalemwa, wamepata fursa ya kuongea na Menejimenti ya SUWASA kuhusu mambo mbalimbali ya kiutendaji na baadae kuzungumza na watumishi wa SUWASA kusikiliza maoni na changamoto mbalimbali kwa lengo la kuboresha utoaji wa huduma.

Anwani
Address
  • Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida Singida Water Supply and Environmental Sanitation Authority
  • P.O. Box 174,
    Singida.
  • +2552502122, 0800710038
  • info@suwasa.or.tz
Tovuti Mashuhuri
Related Links
Idadi ya Wageni
Visitors Counter
  • Today Leo 124
  • Yesterday Jana 313
  • This Week Wiki hii 438
  • This Month Mwezi huu 3,846
  • All Days Siku Zote 406,125
Hakimiliki ©2023 SUWASA. Haki zote zimehifadhiwa.