Habari
News
SUWASA RECEIVED AUDITORS FROM MINISTRY OF WATER
SUWASA IMEPOKEA WAKAGUZI KUTOKA WIZARA YA MAJI
Posted on: Sep 15, 2025 Imetengenezwa: Sep 15, 2025
Singida Water Supply and Sanitation Authority (SUWASA) has received a team of inspectors specializing in management, technical matters, and various operational systems from the Ministry of Water who visited the office of the Executive Director of SUWASA on August 1, 2025.
The inspectors, led by CDO Yusuph Ngalemwa, had the opportunity to engage with SUWASA's management on various operational issues and later met with SUWASA staff to listen to their feedback and challenges with the aim of improving service delivery.
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) imepokea timu ya wakaguzi wa masuala ya kimenejimenti, Ufundi na Mifumo mbalimbali ya uendeshaji kutoka Wizara ya Maji waliofika katika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa SUWASA tarehe 1 Agosti 2025.
Wakaguzi hao wakiongozwa na CDO Yusuph Ngalemwa, wamepata fursa ya kuongea na Menejimenti ya SUWASA kuhusu mambo mbalimbali ya kiutendaji na baadae kuzungumza na watumishi wa SUWASA kusikiliza maoni na changamoto mbalimbali kwa lengo la kuboresha utoaji wa huduma.