Habari

News

MANAGING DIRECTOR OF SUWASA MEETS SINGIDA REGIONAL FIRE OFFICER

MKURUGENZI MTENDAJI WA SUWASA AKUTANA NA AFISA WA MKOA WA JESHI LA ZIMAMOTO SINGIDA

Posted on: Jun 6, 2024 Imetengenezwa: Jun 6, 2024
The Managing Director of the Singida Water Supply and Sanitation Authority (SUWASA) Sebastian Warioba, has held a meeting with the Singida Reginal Fire Officer (RFO) Devotha Bigawa, as it is the procedure of the Government Institutions to work together. 

In addition, the two executives have visited the area with the aim of further strengthening the work performance

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) Sebastian Warioba, amekaa kikao na Afisa wa Jeshi la uokoaji na Zimamoto Singida (RFO) Devotha Bigawa, ikiwa ni utaratibu wa Taasisi za Serikali kufanya kazi kwa ushirikiano wa pamoja. Aidha watendaji hao wawili wametembelea Uwandani kwa lengo la kuimarisha zaidi utendaji kazi.

Anwani
Address
  • Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida Singida Water Supply and Environmental Sanitation Authority
  • P.O. Box 174,
    Singida.
  • +2552502122, 0800710038
  • info@suwasa.or.tz
Tovuti Mashuhuri
Related Links
Idadi ya Wageni
Visitors Counter
  • Today Leo 23
  • Yesterday Jana 284
  • This Week Wiki hii 1,126
  • This Month Mwezi huu 4,489
  • All Days Siku Zote 298,794
Hakimiliki ©2023 SUWASA. Haki zote zimehifadhiwa.