Habari
News
SUWASA CONTINUES WITH IMPLEMENTATION OF KITOPE WATERPROJECT
SUWASA YAENDELEA NA UTEKELEZAJI WA MRADI WA MAJI WA KITOPE
Posted on: Jul 18, 2025 Imetengenezwa: Jul 18, 2025
The Singida Water Supply and Sanitation Authority (SUWASA) is continues with the implementation of the Kitope Water Service Improvement Project. SUWASA is currently constructing a stand for a 10,000-liter water tank to serve a water collection kiosk in the Kitope area.
The construction, which is 95% complete, is expected to be finalized by the end of July. Once completed, it will provide clean and safe water to more than 500 residents who previously lacked access to Clean and Safe Water
Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) inaendelea na utekelezaji wa Mradi wa Uboreshaji wa huduma ya Maji wa Kitope. SUWASA inaendelea na Ujenzi wa mnala wa kuwekea tanki lenye ujazo wa lita 10000 kwa ajili ya kioski cha kuchotea maji eneo la kitope. Ujenzi huo ambao umefikia asilimia 95, upo unatarajiwa kukamilika mwisho wa mwezi julai ambapo utahudumia zaidi ya wakazi 500 ambao hawakua na huduma ya majisafi na salama.