Habari

News

SUWASA STAFF VISIT BABATI WATER AUTHORITY

WATUMISHI WA SUWASA WATEMBELEA MAMLAKA YA MAJI BABATI

Posted on: Jul 18, 2025 Imetengenezwa: Jul 18, 2025

Staff from the Singida Urban Water and Sanitation Authority (SUWASA) visited the Babati Urban Water and Sanitation Authority (BAWASA) as part of a learning and exchange visit.

During the visit, the staff had the opportunity to tour various BAWASA projects. These visits are part of a series of phased training visits for staff, aimed at gaining insight and sharing experiences to improve performance in both authorities.

While on the visit, they were guided by Engineer Rashid Charahani, the Customer Service Manager at BAWASA.

Watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira wametembelea Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Babati (BAWASA) ikiwa ni ziara ya Mafunzo.

Watumishi hao wamepata fursa ya kutembelea miradi ya mbalimbali ya BAWASA. Ziara hizi ni mwendelezo wa Ziara za mafunzo kwa awamu kwa watumishi, ambapo lengo ni kuona na kubadilishana uzoefu kwaajili ya kuboresha utendaji ya Mamlaka zote mbili.

Wakiwa katika ziara hiyo, waliongozwa na Mhandisi Rashid Charahani ambaye ni Meneja wa Huduma kwa Wateja BAWASA.

Anwani
Address
  • Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida Singida Water Supply and Environmental Sanitation Authority
  • P.O. Box 174,
    Singida.
  • +2552502122, 0800710038
  • info@suwasa.or.tz
Tovuti Mashuhuri
Related Links
Idadi ya Wageni
Visitors Counter
  • Today Leo 939
  • Yesterday Jana 1,636
  • This Week Wiki hii 3,832
  • This Month Mwezi huu 30,302
  • All Days Siku Zote 342,153
Hakimiliki ©2023 SUWASA. Haki zote zimehifadhiwa.