Habari
News
SUWASA STAFF RECEIVE EDUCATION ON NHIF INSURANCE FUND
WATUMISHI WA SUWASA WAPATA ELIMU YA MFUKO WA BIMA NHIF
Posted on: Sep 15, 2025 Imetengenezwa: Sep 15, 2025
Staff of the Singida Water and Sanitation Authority (SUWASA) receiving education on the NHIF Health Insurance Fund.
The training was provided by officials from NHIF, Senior Membership Officer Bilhuda Hangazi, together with Senior Quality Control Officer Dr. Filbert Shayo.
Watumishi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Singida (SUWASA) wakipata elimu juu ya Mfuko wa Bima ya Afya wa NHIF
Elimu hiyo imetolewa na Maafisa kutoka NHIF, Afisa Uanachama Mwandamizi Bilhuda Hangazi akishirikiana na Afisa Udhibiti Ubora Mwandamizi Dkt. Filbert Shayo.
3w